Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kamanda wa Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Khatam al-Anbiya(s), ametangaza kuwa ndani ya saa moja iliyopita, ndege 10 za kivita za utawala wa Kizayuni zimeangushwa katika maeneo mbalimbali ya Iran.
Aidha, ulinzi wa anga wa mji wa Tehran hivi punde umefanikiwa kuangusha ndege nyingine mbili za kivita katika anga ya mji mkuu huo. Mifumo ya ulinzi wa anga katika miji mbalimbali nchini ikiwemo Dezful pia inaendelea kukabiliana na ndege za kivita za adui Mzayuni.
Your Comment